Mungu Mtakatifu
Tunakuomba ujase roho zetu na moto wa upendo wako
Utuwamshe sisi, Roho Mtakatifu,
Tushudiye kukuweko kwa Kristo Yesu
Kila wakati maishani mwetu
Utufanye wapya, ewe Bwana, ili sisi pamoja na boma zetu,
Parokia zetu, ujirani, na ulimwengu nzima
Zigeuzwe na kufanywa ufalme wako duniani
Mahali haki na amani sitatawala.
Amina